Mika 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mwana anamdharau baba yake,Binti anashindana na mama yake,+Na binti mkwe anampinga mama mkwe wake;+Maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake.+ Mathayo 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Zaidi ya hayo, mtu atamtoa ndugu yake auawe, na baba atamtoa mtoto wake, na watoto watainuka dhidi ya wazazi na kufanya wauawe.+ Luka 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zaidi ya hayo, mtakabidhiwa* hata na wazazi, ndugu, watu wa ukoo, na rafiki zenu, nao watawaua baadhi yenu,+ 2 Timotheo 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini ujue jambo hili, kwamba katika siku za mwisho+ kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo. 2 Timotheo 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 wasio na upendo wa asili, wasiotaka makubaliano yoyote, wachongezi, wasiojizuia,* wakali, wasiopenda wema,
6 Kwa maana mwana anamdharau baba yake,Binti anashindana na mama yake,+Na binti mkwe anampinga mama mkwe wake;+Maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake.+
21 Zaidi ya hayo, mtu atamtoa ndugu yake auawe, na baba atamtoa mtoto wake, na watoto watainuka dhidi ya wazazi na kufanya wauawe.+
16 Zaidi ya hayo, mtakabidhiwa* hata na wazazi, ndugu, watu wa ukoo, na rafiki zenu, nao watawaua baadhi yenu,+
3 Lakini ujue jambo hili, kwamba katika siku za mwisho+ kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo.
3 wasio na upendo wa asili, wasiotaka makubaliano yoyote, wachongezi, wasiojizuia,* wakali, wasiopenda wema,