Luka 21:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Basi, endeleeni kukesha+ sikuzote mkiomba dua+ ili mfanikiwe kuponyoka mambo yote hayo ambayo lazima yatukie, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+
36 Basi, endeleeni kukesha+ sikuzote mkiomba dua+ ili mfanikiwe kuponyoka mambo yote hayo ambayo lazima yatukie, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+