Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:55, 56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Saa hiyo, Yesu akauambia umati: “Je, mmekuja kunikamata mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mwizi? Siku baada ya siku nilikuwa nikiketi hekaluni nikifundisha+ lakini hamkunikamata.+ 56 Lakini yote haya yametokea ili kutimiza mambo yaliyoandikwa* na manabii.”+ Ndipo wanafunzi wote wakamwacha na kukimbia.+

  • Luka 22:52, 53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Kisha Yesu akawauliza wakuu wa makuhani na makapteni wa hekalu na wazee waliokuja kumkamata: “Je, mmekuja kunikamata mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mwizi?+ 53 Nilipokuwa pamoja nanyi hekaluni siku baada ya siku,+ hamkunikamata.+ Lakini huu ndio wakati wenu na mamlaka ya giza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki