-
Mathayo 26:55, 56Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
55 Saa hiyo, Yesu akauambia umati: “Je, mmekuja kunikamata mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mwizi? Siku baada ya siku nilikuwa nikiketi hekaluni nikifundisha+ lakini hamkunikamata.+ 56 Lakini yote haya yametokea ili kutimiza mambo yaliyoandikwa* na manabii.”+ Ndipo wanafunzi wote wakamwacha na kukimbia.+
-