Isaya 53:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake. Aliletwa kama kondoo machinjioni,+Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+ 1 Petro 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.
7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake. Aliletwa kama kondoo machinjioni,+Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+
23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.