Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Waefeso 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambao aliutumia kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu, Wakolosai 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata hivyo, ikiwa mlifufuliwa pamoja na Kristo,+ endeleeni kutafuta mambo yaliyo juu, ambako Kristo ameketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu.+
110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+
20 ambao aliutumia kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,
3 Hata hivyo, ikiwa mlifufuliwa pamoja na Kristo,+ endeleeni kutafuta mambo yaliyo juu, ambako Kristo ameketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu.+