Mambo ya Walawi 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo yule aliyelitukana jina la Yehova lazima auawe.+ Kwa hakika kusanyiko lote linapaswa kumpiga mawe. Mgeni anapaswa kuuawa sawasawa na mwenyeji kwa sababu ya kulitukana lile Jina. Yohana 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wayahudi wakamjibu: “Sisi tuna sheria, na kulingana na sheria anapaswa kufa,+ kwa sababu alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”+
16 Kwa hiyo yule aliyelitukana jina la Yehova lazima auawe.+ Kwa hakika kusanyiko lote linapaswa kumpiga mawe. Mgeni anapaswa kuuawa sawasawa na mwenyeji kwa sababu ya kulitukana lile Jina.
7 Wayahudi wakamjibu: “Sisi tuna sheria, na kulingana na sheria anapaswa kufa,+ kwa sababu alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”+