Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:15-18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa kila sherehe ya pasaka, gavana alikuwa na desturi ya kumfungua mfungwa yeyote ambaye umati ulimtaka.+ 16 Wakati huo walikuwa wamemkamata mhalifu sugu aitwaye Baraba. 17 Basi walipokuwa wamekusanyika, Pilato akawauliza: “Mnataka niwafungulie nani, Baraba au Yesu anayeitwa Kristo?” 18 Kwa maana Pilato alijua kwamba walikuwa wamemkabidhi Yesu kwake kwa sababu ya wivu.

  • Yohana 18:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Isitoshe, mna desturi kwamba niwafungulie mtu siku ya Pasaka.+ Basi, mnataka niwafungulie Mfalme wa Wayahudi?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki