55 Na wanawake wengi ambao walikuwa wamemfuata Yesu kutoka Galilaya ili kumhudumia walikuwa wakitazama kwa mbali;+56 miongoni mwao kulikuwa na Maria Magdalene, Maria mama ya Yakobo na Yose, na pia mama ya wana wa Zebedayo.+
49 Wale wote waliomfahamu walikuwa wamesimama mbali kidogo. Pia, wanawake waliokuwa wamefuatana naye kutoka Galilaya, walikuwa hapo na waliona mambo hayo.+