2 na pia wanawake fulani waliotolewa roho waovu na kuponywa magonjwa, yaani: Maria aitwaye Magdalene, ambaye alitolewa roho waovu saba; 3 Yoana+ mke wa Kuza, msimamizi wa nyumba ya Herode; Susana; na wanawake wengine wengi waliokuwa wakiwahudumia kwa mali zao.+