Mathayo 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, wakaondoka upesi kwenye kaburi la ukumbusho wakiwa na hofu na shangwe kubwa. Wakakimbia kwenda kuwajulisha wanafunzi wake.+ Luka 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 wakarudi kutoka kaburini,* wakawaambia mambo hayo yote wale 11 na wengine wote.+
8 Basi, wakaondoka upesi kwenye kaburi la ukumbusho wakiwa na hofu na shangwe kubwa. Wakakimbia kwenda kuwajulisha wanafunzi wake.+