Marko 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi walipotoka kaburini, wakakimbia wakitetemeka huku wakiwa wamelemewa na hisia. Nao hawakumwambia mtu yeyote jambo lolote, kwa sababu waliogopa.*+ Luka 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 wakarudi kutoka kaburini,* wakawaambia mambo hayo yote wale 11 na wengine wote.+
8 Basi walipotoka kaburini, wakakimbia wakitetemeka huku wakiwa wamelemewa na hisia. Nao hawakumwambia mtu yeyote jambo lolote, kwa sababu waliogopa.*+