-
Marko 16:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Kwa hiyo walipotoka wakakimbia kutoka kwenye kaburi, kwa maana walikuwa wakitetemeka nao walikuwa na hisia nyingi. Nao hawakumwambia mtu jambo lolote, kwa maana walikuwa wanaogopa.+
UMALIZIO MFUPI
Hati na tafsiri fulani za mwisho-mwisho zina umalizio mfupi baada ya Marko 16:8, kama ifuatavyo:
Lakini mambo yote yaliyokuwa yameamriwa wakayasimulia kwa ufupi kwa wale waliomzunguka Petro. Tena, baada ya mambo hayo, Yesu mwenyewe akapeleka kupitia wao tangazo takatifu na lisiloweza kuharibika la wokovu wa milele kutoka mashariki mpaka magharibi.
-
-
Marko 16:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 Kwa hiyo walipotoka wakakimbia kutoka kwenye kaburi la ukumbusho, kwa maana kutetemeka na hisia-moyo yenye nguvu zilikuwa zimewashika kabisa. Nao hawakuambia mtu jambo lolote, kwa maana walikuwa katika hofu.
UMALIZIO MREFU
Hati-mkono nyingine za kale (ACD) na tafsiri (VgSyc,p) huongeza umalizio mrefu unaofuata, lakini ambao אBSysArm huondoa:
-