23 Kisha akaenda katika Galilaya yote,+ akifundisha katika masinagogi+ yao na kuhubiri habari njema ya Ufalme na kuwaponya watu kila aina ya ugonjwa na kila aina ya udhaifu.+
8Muda mfupi baadaye Yesu akasafiri kutoka jiji mpaka jiji na kijiji mpaka kijiji, akihubiri na kutangaza habari njema ya Ufalme wa Mungu.+ Wale 12 walikuwa pamoja naye,