-
Yohana 16:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Yesu alijua kwamba walitaka kumuuliza, basi akawaambia: “Je, mnaulizana hivyo kwa sababu nilisema: ‘Baada ya muda kidogo hamtaniona, na tena, baada ya muda kidogo mtaniona’? 20 Kwa kweli ninawaambia, mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utashangilia; mtahuzunika, lakini huzuni yenu itageuka kuwa shangwe.+
-