Mathayo 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akawaambia: “Ukiwa na kondoo mmoja, naye kondoo huyo atumbukie shimoni siku ya Sabato, je, kuna yeyote kati yenu ambaye hatamshika na kumtoa humo?+ Marko 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha akawauliza: “Je, ni halali kufanya mema au kufanya mabaya siku ya Sabato, kuokoa uhai* au kuua?”+ Lakini wakanyamaza. Yohana 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ikiwa mtu hutahiriwa siku ya sabato ili Sheria ya Musa isivunjwe, mbona mnanikasirikia sana kwa sababu nilimponya mtu siku ya sabato+ naye akapona kabisa?
11 Akawaambia: “Ukiwa na kondoo mmoja, naye kondoo huyo atumbukie shimoni siku ya Sabato, je, kuna yeyote kati yenu ambaye hatamshika na kumtoa humo?+
4 Kisha akawauliza: “Je, ni halali kufanya mema au kufanya mabaya siku ya Sabato, kuokoa uhai* au kuua?”+ Lakini wakanyamaza.
23 Ikiwa mtu hutahiriwa siku ya sabato ili Sheria ya Musa isivunjwe, mbona mnanikasirikia sana kwa sababu nilimponya mtu siku ya sabato+ naye akapona kabisa?