Isaya 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Atakuwa kama mahali patakatifu,Lakini kama jiwe la kujigonga juu yakeNa kama mwamba wa kujikwaa juu yake+Kwa nyumba zote mbili za Israeli,Kama mtego na kama kitu kinachonasaKwa wakaaji wa Yerusalemu. Luka 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Pia, Simeoni akawabariki na kumwambia Maria, mama ya yule mtoto: “Tazama! Mtoto huyu amewekwa rasmi kwa ajili ya kuanguka+ na kuinuka tena kwa wengi katika Israeli+ na kuwa ishara itakayosemwa vibaya+ Yohana 6:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Kwa sababu hiyo, wengi kati ya wanafunzi wake wakarudi kwenye mambo yaliyo nyuma+ nao hawakumfuata tena.
14 Atakuwa kama mahali patakatifu,Lakini kama jiwe la kujigonga juu yakeNa kama mwamba wa kujikwaa juu yake+Kwa nyumba zote mbili za Israeli,Kama mtego na kama kitu kinachonasaKwa wakaaji wa Yerusalemu.
34 Pia, Simeoni akawabariki na kumwambia Maria, mama ya yule mtoto: “Tazama! Mtoto huyu amewekwa rasmi kwa ajili ya kuanguka+ na kuinuka tena kwa wengi katika Israeli+ na kuwa ishara itakayosemwa vibaya+
66 Kwa sababu hiyo, wengi kati ya wanafunzi wake wakarudi kwenye mambo yaliyo nyuma+ nao hawakumfuata tena.