-
Mathayo 11:16-19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 “Nitakifananisha kizazi hiki na nani?+ Ni kama watoto walioketi sokoni wakiwapazia wenzao sauti, 17 wakisema: ‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza dansi; tuliomboleza, lakini hamkujipiga-piga kwa huzuni.’ 18 Vivyo hivyo, Yohana hakuja akila wala kunywa, lakini watu wanasema, ‘Ana roho mwovu.’ 19 Mwana wa binadamu alikuja akila na kunywa,+ lakini watu wanasema, ‘Tazama! Yeye ni mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya kodi na watenda dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huthibitishwa kuwa yenye uadilifu* kupitia kazi zake.”*+
-