Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 7:31-35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Basi, nitawalinganisha watu wa kizazi hiki na nani, wanafanana na nani?+ 32 Wao ni kama watoto walioketi sokoni ambao wanaambiana kwa sauti kubwa, wakisema: ‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza dansi; tuliomboleza, lakini hamkulia.’ 33 Vivyo hivyo, Yohana Mbatizaji hakuja akila mkate wala kunywa divai,+ lakini mnasema: ‘Ana roho mwovu.’ 34 Mwana wa binadamu amekuja akila na kunywa, lakini mnasema: ‘Tazama! yeye ni mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya kodi na watenda dhambi!’+ 35 Hata hivyo, hekima huthibitishwa* kuwa yenye uadilifu kupitia watoto wake wote.”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki