18 Basi kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama ya Yesu alichumbiwa na Yosefu, lakini kabla hawajafunga ndoa akapata mimba kupitia roho takatifu.*+
20 Lakini baada ya kufikiria mambo hayo, tazama! malaika wa Yehova* alimtokea katika ndoto na kumwambia: “Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumpeleka Maria mke wako nyumbani, kwa sababu amepata mimba kupitia roho takatifu.+