Mathayo 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo wale waliokuwa ndani ya mashua wakamsujudia* wakisema: “Kwa kweli wewe ni Mwana wa Mungu.” Yohana 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yohana pia alitoa ushahidi akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+ Yohana 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mimi nimeona, nami nimetoa ushahidi kwamba huyo ndiye Mwana wa Mungu.”+ Yohana 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini mambo haya yameandikwa ili mwamini kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa sababu ya kuamini, mpate uzima kupitia jina lake.+
32 Yohana pia alitoa ushahidi akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+
31 Lakini mambo haya yameandikwa ili mwamini kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa sababu ya kuamini, mpate uzima kupitia jina lake.+