12 Alipokaribia lango la jiji, tazama! kulikuwa na watu waliokuwa wamebeba maiti wakiipeleka nje, yule aliyekufa alikuwa mwana pekee, na mama yake+ alikuwa mjane. Watu wengi kutoka jijini walikuwa pamoja na yule mwanamke. 13 Bwana alipomwona yule mjane akamsikitikia+ na kumwambia: “Acha kulia.”+