Mathayo 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Alipofika ufuoni, akaona umati mkubwa, akawasikitikia+ na kuwaponya wagonjwa wao.+ Marko 6:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Basi, aliposhuka, akaona umati mkubwa, akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.+ Naye akaanza kuwafundisha mambo mengi.+ Yohana 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na umati mkubwa sana ulikuwa ukimfuata,+ kwa sababu walikuwa wakiona ishara za miujiza alizokuwa akifanya kwa kuwaponya wagonjwa.+
34 Basi, aliposhuka, akaona umati mkubwa, akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.+ Naye akaanza kuwafundisha mambo mengi.+
2 Na umati mkubwa sana ulikuwa ukimfuata,+ kwa sababu walikuwa wakiona ishara za miujiza alizokuwa akifanya kwa kuwaponya wagonjwa.+