32 Lakini Yesu akawaita wanafunzi wake na kuwaambia: “Ninausikitikia umati,+ kwa sababu tayari wamekaa pamoja nami siku tatu nao hawajala chochote. Sitaki kuwaacha waende wakiwa na njaa,* wasije wakazimia njiani.”+
34 Basi, aliposhuka, akaona umati mkubwa, akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.+ Naye akaanza kuwafundisha mambo mengi.+
17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu, ili atoe dhabihu ya upatanisho*+ kwa ajili ya dhambi za watu.+