Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 9:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Alipoona umati akausikitikia,+ kwa sababu walikuwa wamechunwa ngozi na kutupwa huku na huku kama kondoo wasio na mchungaji.+

  • Mathayo 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Lakini Yesu akawaita wanafunzi wake na kuwaambia: “Ninausikitikia umati,+ kwa sababu tayari wamekaa pamoja nami siku tatu nao hawajala chochote. Sitaki kuwaacha waende wakiwa na njaa,* wasije wakazimia njiani.”+

  • Marko 1:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Ndipo akamsikitikia, akanyoosha mkono wake, akamgusa na kumwambia: “Ninataka! Takasika.”+

  • Marko 6:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Basi, aliposhuka, akaona umati mkubwa, akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.+ Naye akaanza kuwafundisha mambo mengi.+

  • Luka 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Bwana alipomwona yule mjane akamsikitikia+ na kumwambia: “Acha kulia.”+

  • Waebrania 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu, ili atoe dhabihu ya upatanisho*+ kwa ajili ya dhambi za watu.+

  • Waebrania 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yeye anaweza kuwatendea kwa huruma* wale wasiojua na wanaokosea,* kwa sababu yeye pia anapambana* na udhaifu wake mwenyewe,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki