Mathayo 10:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Yeyote anayempenda baba au mama kuliko anavyonipenda hanistahili; na yeyote anayempenda mwana au binti kuliko anavyonipenda hanistahili.+ 1 Wakorintho 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Je, hamjui kwamba wakimbiaji wote katika mbio hukimbia, lakini ni mmoja tu anayepokea tuzo? Kimbieni kwa njia itakayowawezesha kushinda tuzo.+ Wafilipi 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Akina ndugu, sijioni kuwa tayari nimelishika hilo; lakini jambo moja ni hakika: Ninayasahau mambo ya nyuma+ na kujinyoosha kuelekea mambo yaliyo mbele,+
37 Yeyote anayempenda baba au mama kuliko anavyonipenda hanistahili; na yeyote anayempenda mwana au binti kuliko anavyonipenda hanistahili.+
24 Je, hamjui kwamba wakimbiaji wote katika mbio hukimbia, lakini ni mmoja tu anayepokea tuzo? Kimbieni kwa njia itakayowawezesha kushinda tuzo.+
13 Akina ndugu, sijioni kuwa tayari nimelishika hilo; lakini jambo moja ni hakika: Ninayasahau mambo ya nyuma+ na kujinyoosha kuelekea mambo yaliyo mbele,+