Mathayo 10:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msichukue dhahabu, fedha, wala shaba kwenye mishipi yenu ya pesa,+ 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili,* wala viatu, wala fimbo,+ kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+ 1 Wakorintho 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ikiwa tumepanda vitu vya kiroho miongoni mwenu, je, ni jambo kubwa tukivuna kutoka kwenu vitu vya kimwili?+ 1 Wakorintho 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vivyo hivyo, pia, Bwana aliamuru kwamba wale wanaotangaza habari njema waishi kupitia habari njema.+ 1 Timotheo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana andiko linasema, “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka,”+ pia, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+
9 Msichukue dhahabu, fedha, wala shaba kwenye mishipi yenu ya pesa,+ 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili,* wala viatu, wala fimbo,+ kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
11 Ikiwa tumepanda vitu vya kiroho miongoni mwenu, je, ni jambo kubwa tukivuna kutoka kwenu vitu vya kimwili?+
14 Vivyo hivyo, pia, Bwana aliamuru kwamba wale wanaotangaza habari njema waishi kupitia habari njema.+
18 Kwa maana andiko linasema, “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka,”+ pia, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+