Kumbukumbu la Torati 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka.+ 1 Wakorintho 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni mwanajeshi gani ambaye hutumika kwa gharama yake mwenyewe? Ni nani anayepanda shamba la mizabibu naye asile matunda yake?+ Au ni nani anayechunga mifugo naye asinywe maziwa ya mifugo yake? 1 Wakorintho 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Musa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka.”+ Je, ng’ombe dume ndio Mungu anaohangaikia?
7 Ni mwanajeshi gani ambaye hutumika kwa gharama yake mwenyewe? Ni nani anayepanda shamba la mizabibu naye asile matunda yake?+ Au ni nani anayechunga mifugo naye asinywe maziwa ya mifugo yake?
9 Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Musa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka.”+ Je, ng’ombe dume ndio Mungu anaohangaikia?