Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwadilifu huwatunza wanyama anaowafuga,*+

      Lakini hata rehema ya waovu ni ukatili.

  • 1 Wakorintho 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Musa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka.”+ Je, ng’ombe dume ndio Mungu anaohangaikia?

  • 1 Timotheo 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana andiko linasema, “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka,”+ pia, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki