Methali 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu huwatunza wanyama anaowafuga,*+Lakini hata rehema ya waovu ni ukatili. 1 Wakorintho 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Musa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka.”+ Je, ng’ombe dume ndio Mungu anaohangaikia? 1 Timotheo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana andiko linasema, “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka,”+ pia, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+
9 Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Musa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka.”+ Je, ng’ombe dume ndio Mungu anaohangaikia?
18 Kwa maana andiko linasema, “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka,”+ pia, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+