-
Mwanzo 33:12-14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Baadaye Esau akasema: “Tuondoke, tufunge safari, acha nikutangulie.” 13 Lakini Yakobo akamwambia: “Bwana wangu unajua kwamba watoto ni dhaifu+ nami nina kondoo na ng’ombe wanaonyonyesha. Wakipelekwa haraka-haraka kwa siku moja, wanyama wote watakufa. 14 Tafadhali, bwana wangu, nitangulie mimi mtumishi wako, lakini nitaendelea na safari polepole kulingana na mwendo wa mifugo na watoto mpaka nitakapofika kwako bwana wangu huko Seiri.”+
-