Mathayo 7:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Endeleeni kuomba, nanyi mtapewa;+ endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi, nanyi mtafunguliwa;+ 8 kwa maana kila mtu anayeomba hupokea,+ na kila mtu anayetafuta hupata, na kila mtu anayepiga hodi, atafunguliwa.
7 “Endeleeni kuomba, nanyi mtapewa;+ endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi, nanyi mtafunguliwa;+ 8 kwa maana kila mtu anayeomba hupokea,+ na kila mtu anayetafuta hupata, na kila mtu anayepiga hodi, atafunguliwa.