Marko 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndiyo sababu ninawaambia, mambo yote mnayosali na kuomba, iweni na imani kwamba mmeyapokea, nanyi mtayapata.+ Yohana 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mkikaa katika muungano pamoja nami, na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni chochote mnachotaka nanyi mtapewa.+ Yakobo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini na aendelee kuomba kwa imani,+ bila kuwa na shaka hata kidogo,+ kwa maana aliye na shaka ni kama wimbi la bahari linaloendeshwa na upepo na kupeperushwa huku na huku. 1 Yohana 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na chochote tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake. 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
24 Ndiyo sababu ninawaambia, mambo yote mnayosali na kuomba, iweni na imani kwamba mmeyapokea, nanyi mtayapata.+
7 Mkikaa katika muungano pamoja nami, na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni chochote mnachotaka nanyi mtapewa.+
6 Lakini na aendelee kuomba kwa imani,+ bila kuwa na shaka hata kidogo,+ kwa maana aliye na shaka ni kama wimbi la bahari linaloendeshwa na upepo na kupeperushwa huku na huku.
22 na chochote tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.
14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+