Mathayo 23:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnasafisha upande wa nje wa kikombe na wa sahani,+ lakini ndani vimejaa pupa*+ na kutojizuia.+ 26 Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe na sahani ili upande wa nje uwe safi pia.
25 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnasafisha upande wa nje wa kikombe na wa sahani,+ lakini ndani vimejaa pupa*+ na kutojizuia.+ 26 Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe na sahani ili upande wa nje uwe safi pia.