Ufunuo 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na malaika mwenye nguvu akainua jiwe lililo kama jiwe kubwa la kusagia na kulitupa baharini, akisema: “Hivi ndivyo Babiloni lile jiji kubwa litakavyotupwa chini kwa kasi sana, naye hatapatikana tena.+ Ufunuo 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu ya manabii na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa duniani.”+
21 Na malaika mwenye nguvu akainua jiwe lililo kama jiwe kubwa la kusagia na kulitupa baharini, akisema: “Hivi ndivyo Babiloni lile jiji kubwa litakavyotupwa chini kwa kasi sana, naye hatapatikana tena.+
24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu ya manabii na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa duniani.”+