17 “Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa jirani yako+ wala mtumwa wake wala kijakazi wake wala ng’ombe dume wake wala punda wake wala kitu chochote cha jirani yako.”+
5 Kwa hiyo, viueni viungo vya mwili wenu+ vilivyo duniani kuhusiana na uasherati,* uchafu, hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na pupa, ambayo ni ibada ya sanamu.