Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘Na ufalme na utawala na utukufu wa falme chini ya mbingu zote ulikabidhiwa watu ambao ni watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Ufalme wao ni ufalme wa milele,+ na tawala zote zitawatumikia na kuwatii wao.’

  • Luka 22:28-30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Hata hivyo, ninyi ndio mmeshikamana nami+ katika majaribu yangu;+ 29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, kama Baba yangu alivyofanya agano pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+ 30 ili mle na kunywa mezani pangu katika Ufalme wangu,+ na kuketi kwenye viti vya ufalme+ ili kuyahukumu makabila 12 ya Israeli.+

  • Waebrania 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea Ufalme usioweza kutikiswa, acheni tuendelee kupokea fadhili zisizostahiliwa, ambazo zitatuwezesha kumtolea Mungu utumishi mtakatifu kwa njia inayokubalika, kwa kumwogopa Mungu na kumheshimu.

  • Yakobo 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Je, Mungu hakuwachagua walio maskini kwa maoni ya ulimwengu ili wawe matajiri katika imani+ na warithi wa Ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda?+

  • Ufunuo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye alitufanya tuwe ufalme,+ makuhani+ kwa Mungu na Baba yake—ndiyo, na awe na utukufu na nguvu milele. Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki