Yohana 6:67, 68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Basi Yesu akawauliza wale 12: “Je, ninyi pia mnataka kwenda?” 68 Simoni Petro akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele.+
67 Basi Yesu akawauliza wale 12: “Je, ninyi pia mnataka kwenda?” 68 Simoni Petro akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele.+