Waefeso 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, simameni imara, mkiwa mmejifunga kiunoni mshipi wa ile kweli,+ mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+ 1 Petro 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo kazeni akili zenu kwa ajili ya utendaji;+ tunzeni akili zenu kwa ukamili;+ kazeni tumaini lenu juu ya fadhili zisizostahiliwa zitakazoletwa kwenu wakati wa ufunuo wa Yesu Kristo.
14 Kwa hiyo, simameni imara, mkiwa mmejifunga kiunoni mshipi wa ile kweli,+ mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+
13 Kwa hiyo kazeni akili zenu kwa ajili ya utendaji;+ tunzeni akili zenu kwa ukamili;+ kazeni tumaini lenu juu ya fadhili zisizostahiliwa zitakazoletwa kwenu wakati wa ufunuo wa Yesu Kristo.