Waefeso 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo acheni kuwa watu wasio na akili, bali endeleeni kuyafahamu mapenzi ya Yehova.*+ 1 Petro 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha* kuhusiana na sala.+
7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha* kuhusiana na sala.+