Waroma 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na acheni kufinyangwa na mfumo huu wa mambo,* bali mgeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mjihakikishie wenyewe+ mapenzi ya Mungu yaliyo mema na yenye kukubalika na makamilifu. 1 Wathesalonike 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba mnapaswa kuwa watakatifu+ na mjiepushe na uasherati.*+ 1 Petro 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ili aishi wakati wake uliobaki katika mwili, si kwa ajili ya tamaa za wanadamu tena,+ bali kwa ajili ya mapenzi ya Mungu.+
2 Na acheni kufinyangwa na mfumo huu wa mambo,* bali mgeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mjihakikishie wenyewe+ mapenzi ya Mungu yaliyo mema na yenye kukubalika na makamilifu.
3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba mnapaswa kuwa watakatifu+ na mjiepushe na uasherati.*+
2 ili aishi wakati wake uliobaki katika mwili, si kwa ajili ya tamaa za wanadamu tena,+ bali kwa ajili ya mapenzi ya Mungu.+