3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa ninamwambia kila mtu kati yenu asijifikirie mwenyewe kuliko ilivyo lazima kufikiri,+ bali afikiri ili awe na akili timamu, kila mmoja kama Mungu alivyompa* kipimo cha imani.+
2 Mwangalizi anapaswa kuwa mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi katika mazoea, mwenye utimamu wa akili,*+ mwenye utaratibu, mkaribishaji wageni,*+ mwenye uwezo wa kufundisha,+