7 Mwangalizi ni msimamizi aliyechaguliwa na Mungu, hivyo hapaswi kuwa na shtaka, asiwe mshupavu,+ asiwe mwenye kukasirika upesi,+ asiwe mlevi, asiwe mkatili,* asiwe na pupa ya mapato yasiyo ya haki,
9 anayefuata kikamili neno la uaminifu* katika ustadi wake wa kufundisha,+ ili aweze kutia moyo* kwa fundisho lenye manufaa*+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.