Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wazee wanaosimamia kwa njia nzuri+ wanastahili heshima mara mbili,+ hasa wale wanaofanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+

  • 2 Timotheo 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana, bali anahitaji kuwa mpole* kwa wote,+ mwenye uwezo wa kufundisha, anayejizuia anapokosewa,+

  • Tito 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwangalizi ni msimamizi aliyechaguliwa na Mungu, hivyo hapaswi kuwa na shtaka, asiwe mshupavu,+ asiwe mwenye kukasirika upesi,+ asiwe mlevi, asiwe mkatili,* asiwe na pupa ya mapato yasiyo ya haki,

  • Tito 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 anayefuata kikamili neno la uaminifu* katika ustadi wake wa kufundisha,+ ili aweze kutia moyo* kwa fundisho lenye manufaa*+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki