Waroma 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa ninamwambia kila mtu kati yenu asijifikirie mwenyewe kuliko ilivyo lazima kufikiri,+ bali afikiri ili awe na akili timamu, kila mmoja kama Mungu alivyompa* kipimo cha imani.+ 1 Petro 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha* kuhusiana na sala.+
3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa ninamwambia kila mtu kati yenu asijifikirie mwenyewe kuliko ilivyo lazima kufikiri,+ bali afikiri ili awe na akili timamu, kila mmoja kama Mungu alivyompa* kipimo cha imani.+
7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha* kuhusiana na sala.+