Mathayo 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Basi Ufalme wa mbinguni ni kama mabikira kumi waliochukua taa zao+ na kwenda kumpokea bwana harusi.+ Wafilipi 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+
25 “Basi Ufalme wa mbinguni ni kama mabikira kumi waliochukua taa zao+ na kwenda kumpokea bwana harusi.+
15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+