Mathayo 25:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana kila mtu aliye na kitu ataongezewa, naye atakuwa na vitu vingi. Lakini mtu asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+ Yohana 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye huliondoa kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda, naye hulisafisha kila tawi linalozaa matunda, ili lizae matunda zaidi.+
29 Kwa maana kila mtu aliye na kitu ataongezewa, naye atakuwa na vitu vingi. Lakini mtu asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
2 Yeye huliondoa kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda, naye hulisafisha kila tawi linalozaa matunda, ili lizae matunda zaidi.+