27 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki!+ kwa sababu mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa,+ ambayo kwa nje yanapendeza lakini ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila namna ya uchafu. 28 Vivyo hivyo, kwa nje mnaonekana waadilifu kwa watu, lakini ndani mmejaa unafiki na uasi sheria.+