Zaburi 118:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova;+Tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yehova. Mathayo 23:38, 39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Tazama! Mmeachiwa nyumba yenu.*+ 39 Kwa maana ninawaambia, tangu sasa hamtaniona tena mpaka mtakaposema, ‘Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova!’”*+
38 Tazama! Mmeachiwa nyumba yenu.*+ 39 Kwa maana ninawaambia, tangu sasa hamtaniona tena mpaka mtakaposema, ‘Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova!’”*+