Methali 25:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usijiheshimu mwenyewe mbele ya mfalme,+Wala usijiingize miongoni mwa watu mashuhuri,+ 7 Kwa maana ni afadhali yeye akuambie, “Njoo hapa juu,” Kuliko akuaibishe mbele ya mkuu.+
6 Usijiheshimu mwenyewe mbele ya mfalme,+Wala usijiingize miongoni mwa watu mashuhuri,+ 7 Kwa maana ni afadhali yeye akuambie, “Njoo hapa juu,” Kuliko akuaibishe mbele ya mkuu.+