23 Yesu akamwambia: “Maneno hayo, ‘Ikiwa unaweza’! Mambo yote yanawezekana kwa mtu mwenye imani.”+24 Mara moja baba ya yule mtoto akasema kwa sauti kubwa: “Nina imani! Nisaidie mahali ambapo ninahitaji imani!”+
2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu na Mkamilishaji wa imani yetu, Yesu.+ Kwa sababu ya shangwe iliyowekwa mbele yake, alivumilia mti wa mateso,* akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+