Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 19:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo watu wakamletea watoto wadogo ili aweke mikono yake juu yao na kusali, lakini wanafunzi wakawakemea.+ 14 Hata hivyo, Yesu akawaambia: “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, na msijaribu kuwazuia, kwa maana Ufalme wa mbinguni ni wa wale walio kama wao.”+ 15 Naye akaweka mikono yake juu yao kisha akaondoka hapo.

  • Marko 10:13-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Watu wakaanza kumletea watoto wadogo ili awaguse, lakini wanafunzi wakawakemea.+ 14 Alipoona hivyo, Yesu akakasirika na kuwaambia: “Waacheni watoto wadogo waje kwangu; msijaribu kuwazuia, kwa maana Ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+ 15 Kwa kweli ninawaambia, yeyote asiyeupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hataingia kamwe ndani yake.”+ 16 Akawachukua watoto akawakumbatia na kuanza kuwabariki, akiweka mikono yake juu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki