Isaya 8:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Atakuwa kama mahali patakatifu,Lakini kama jiwe la kujigonga juu yakeNa kama mwamba wa kujikwaa juu yake+Kwa nyumba zote mbili za Israeli,Kama mtego na kama kitu kinachonasaKwa wakaaji wa Yerusalemu. 15 Wengi wao watajikwaa na kuanguka na kuvunjwa;Watanaswa na kukamatwa.
14 Atakuwa kama mahali patakatifu,Lakini kama jiwe la kujigonga juu yakeNa kama mwamba wa kujikwaa juu yake+Kwa nyumba zote mbili za Israeli,Kama mtego na kama kitu kinachonasaKwa wakaaji wa Yerusalemu. 15 Wengi wao watajikwaa na kuanguka na kuvunjwa;Watanaswa na kukamatwa.