Luka 12:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtakapopelekwa mbele ya makusanyiko ya watu wote,* maofisa wa serikali, na mamlaka, msihangaike kuhusu jinsi mtakavyojitetea au jambo mtakalosema,+ 12 kwa maana saa hiyohiyo roho takatifu itawafundisha mambo mnayopaswa kusema.”+
11 Mtakapopelekwa mbele ya makusanyiko ya watu wote,* maofisa wa serikali, na mamlaka, msihangaike kuhusu jinsi mtakavyojitetea au jambo mtakalosema,+ 12 kwa maana saa hiyohiyo roho takatifu itawafundisha mambo mnayopaswa kusema.”+